MULLER AMUONDOSHA WILFRIED TSONGA

tenesiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionJo Wilfried Tsonga wa upande wa kulia akimpongeza Gilles Muller baada ya mchezo kumalizika
Mfaransa Jo-Wilfried Tsonga ameondolewa kwenye michuano ya Aegon, inayoendelea nchini England na Gilles Muller kutoka Luxembourg
Muller hana jina kubwa katika ramani ya mchezo wa tenesi alimfunga Tsonga kwa seti mbili katika raundi ya pili ya mchuano wao.
Katika seti ya kwanza Muller alishinda kwa 6-4 na seti ya pili akishinda kwa 6-4.
Tsonga anakua nyota wa nne kutupwa nje ya mashindano hayo baada ya Andy Murray, Stan Wawrinka na Milos Raonic kuondolewa hapo siku ya jumanne .
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment