ATLETICO MADRID YASAJILI KIMYA KIMYA

Atletico Madrid imefungiwa kusajili hadi dirisha la usajili la Januari mwaka 2018 Madrid, Hispania. Klabu ya Atletico Madrid iliyofungiwa kusajili misimu miwili, imeripotiwa kufanya usajili wa kimyakimya kwa nyota wa Sevilla, Vitolo.

Image result for picha za atletico madrid
 
Atletico Madrid imefungiwa kusajili hadi dirisha la usajili la Januari mwaka 2018.
Vyombo vya habari nchini Hispania vimeripoti tayari mazungumzo kwa ajili ya mkataba na mchezaji huyo yamemalizika.
 
Radio moja nchini humo, Cadena Cope imetangaza kwamba tayari mchezaji huyo amesajiliwa kimyakimya, lakini hatahesabika kama mchezaji wa Atletico hadi mwanzoni mwa mwakani.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment