Maafisa wa forodha mjini Shanghai
nchini China, wanasema kuwa wamemkamata mwanamke ambaye alijaribu
kusafirisha mikoba miwili hadi nchini Uchina, ambayo ilikuwa
imetengenezwa kwa kutumia dawa ya kulevya ya cocaine.

Mashine ya x-ray ilionyesha kuwa mkoba wake ulikuwa mweusi kuliko kawaida na pia ukuwa mzito hata ulipokuwa bila mzigo.
Baadaye ya uchunguzimkoba huo uligunduliwa kutengenezwa na karibu kilo kumi ya cocaoine
Sheria za China zinasema kuwa yeyote ambaye atapatikana na hatia ya kusafirisha zaidi ya gramu 50 ya cocaine atanyongwa.

0 comments :
Post a Comment