MAREKANI YAFUTA KAZI MADEREVA TAXI WA UBER

Kampuni ya kimarekani yenye kutoa huduma ya taxi, Uber, imearifu kwamba imewafuta kazi wafanyakazi wake 20 baada ya uchunguzi dhidi ya malalamiko ya unyanyasaji wa kijinsia na mambo mengine. Baadhi ya waliofutwa ni wafanyakazi wa vyeo vya juu.

Marekani
Timua hiyo inafuatia msururu wa kashfa kwa kampuni hiyo ya Uber ambayo imeibua maswali kuhusu mfumo wa biashara yake, The sackings follow a series of scandals.
Malalamiko mingi yametokwa kwa wafanyakazi katika ofisi zake za San Francisco. Uber imesema laini ya simu ya faragha kwa watumizi wake, iliyoanzishwa mwezi February, itaendelea kutumika ili kubadilisha jinsi watu wanavyofanya kazi katika shirika hilo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment