Timua hiyo inafuatia msururu wa kashfa kwa kampuni hiyo ya Uber ambayo imeibua maswali kuhusu mfumo wa biashara yake, The sackings follow a series of scandals.
Malalamiko mingi yametokwa kwa wafanyakazi katika ofisi zake za San Francisco. Uber imesema laini ya simu ya faragha kwa watumizi wake, iliyoanzishwa mwezi February, itaendelea kutumika ili kubadilisha jinsi watu wanavyofanya kazi katika shirika hilo.

0 comments :
Post a Comment