BURUNDI,TANZANIA NA UGANDA KUHUSU BOMBA LA MAFUTA





Serikali za Tanzania na Uganda zimetiliana saini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Bomba la mafuta ghafi lenye urefu wa Kilometa 1,443 kutoka Hoima, Uganda hadi TangaTanzania ambao utagharimu Dollar 3.55b.

Mkataba huo umesainiwa Kampala, Uganda na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania, Prof. Paramagamba Kabudi na Waziri wa Nishati wa Uganda, Mhandisi Irene Muloni.

Utiaji huo wa saini unakuja siku chache baada ya Marais wa Nchi hizo Dkt. Magufuli na Yoweri Museveni, kutia saini tamko la pamoja kukamilika majadiliano ya vipengele vya mkataba walipokutana Ikulu, Dar es Salaam.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment