BECKHAM AZUA GUMZO



Staa wa zamani wa soka wa taifa la England na vilabu vikubwa barani ulaya man united na real Madrid, DAVID BECKHAM amezua gumzo hivi karibuni mara baada ya kuonekana kwenye hifadhi ya Serengeti iliyopo nchini Tanzania.
 

BECKHAM aliingia kwa siri nchini akionekana kuja na familia yake kwa ajili ya mapumziko mara baada ya ligi tofauti tofauti barani ulaya kumalizika.
 

Hata hivyo beckham hakusita kuonyesha hisia zake kwa real Madrid mara baada ya kutazama mpira akiwa kwenye ardhi ya Tanzania na kuweza kuipongeza timu hiyo ambayo aliitumikia kwa muda kabla ya kwenda kumaliza soka lake nchini marekani.
 
 
 
 
 
 
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment